Misitu |
|
| |
| Mr Otieno |
| Mshauri wa Kilimo |
| Sekretarieti ya Mkoa |
| Contacts ?? |
|
| |
| Utangulizi |
| |
Mkoa wa Tabora unatekeleza Mpango wa Maendeleo ya Kilimo (ASDP) kuanzia mwaka wa fedha wa 2006/2007. Katika mwaka wa fedha 2006/2007 Halmashauri za Mkoa wa Tabora zilipokea jumla shilingi 656,962,908.00 kutoka ASDP.
Katika msimu wa 2007/2008 Halmashauri zote 6 za Mkoa wa Tabora zinatarajia kupata jumla ya shilingi 1,678,316,487.00 za ASDP kwa ajjili ya kutekeleza Mipango ya Wilaya ya Kuendeleza Kilimo (DADPs). Kwa kulinganisha fedha zilizotolewa mwaka 2006/2007 na zile zilizopitishwa kutolewa mwaka 2007/2008, kuna ongezeko la asilimia 155.
Vile vile Wilaya 3 za Mkoa wa Tabora (Sikonge, Urambo na Uyui) zinatekeleza Mradi Shirikishi wa Kuendeleza Kilimo na Uwekezaji (Participatory Agricultural Development and Empowerment Project – PADED). Kwa msimu wa 2007/2008 wilaya hizi zinategemewa kutumia jumla ya Shilingi 2,056,369,984 .00 kutoka PADEP.
Mchanganuo wa fedha zilizotolewa kwa kila Wilaya kwa mwaka wa fedha 2006/2007 na fedha zilizopangwa kutumika kwa mwaka wa fedha wa 2007/2008 kutoka ASDP na PADEP |
| |
|
| |
Tabora region is one of the main food surplus regions in Tanzania. The region has an area of 6,362,200 Ha. of which 3,960,000 Ha. are suitable for agriculture and livestock keeping. However, only an average of 1,3000,000 Ha. are cultivated annually for both food and cash crops. About 80 percent of the population depends on agriculture for their livelihood. |
| |
The region also produces surplus food (maize, paddy, potatoes, pulses and green vegetables) to the tune of 350,000 tones a year, which in most cases the region exports to other regions like, Dar es Salaam, Dodoma, Singida and the Lake Regions. |
| |
|
|
| Food Crops |
| |
| Maize |
| |
It is the major staple food in Tabora region. For the past five years (1990-1995) an average of about 220,000 Ha. of the arable land has been under maize production with an average production of 2.5 tones per Ha. Maize is both a major food staple and the most inportant marketed crop in the region (in volume terms). |
| |
Therefore, maize is of vital importance to the region and its level of production in the region is also an important determinant of the National Maize surplus. It is possible to cultivate maize in all areas of the region, although in some areas the comparative advantage may be greater than other parts of the region depending on varying climatic conditions. Table XXI highlights major food crops production trend between 1990/91 and 1994/95. |
| |
| Soma zaidi kuhusu mahindi >> |
| |
Mpango wa Mwaka 2007/2008 |
| |
Mipango ya Maendeleo ya Kilimo ya Wilaya za Mkoa wa Tabora kwa mwaka 2007/2008 imelenga kutekeleza miradi ya kuendeleza kilimo katika maeneo yafuatayo:
Kuongeza kilimo cha umwagiliaji kwa kufanya uchunguzi wa miradi mipya 12 na k ukarabati miradi 5.
Kuhamasisha upandaji wa miti kwa kuanzisha vitalu 3 vya kuotesha miche.
Kuboresha ufugaji wa nyuki kwa kununua mizinga bora 54.
Kuongeza vitendea kazi kwa kununua computer 7, pikipiki 23, gari 1 na kujenga nyumba 1 ya mtumishi.
Kuimarisha elimu kwa wakulima kuendesha mashamba darasa 37, kujenga vituo 3 vya wakulima (resource centres), kuimarisha ziara za mafunzo kwa wakulima na kuanzisha majukwaa ya wakulima (farmers' fora).
Kuhamasisha kilimo cha zao mbadala kwa mazao ya ufuta na michikichi katika vikundi 40.
Kuimarisha SACCOS 84 kuhamasisha uanzishaji wa SACCOS mpya.
Kuboresha ufugaji kwa kununua madume bora 66 kwa ajili ya ng'ombe wa maziwa, kununua mbuzi wa maziwa 10 na kununua majogoo bora 1,000.
Kuongeza huduma za mifugo kwa kukarabati machinjio 2, kujenga majosho 2, kuchimba malambo 4, kujenga mabirika 3 ya kunyweshea mifugo na kuchanja mifugo dhidi ya magonjwa ya homa ya mapafu, kichaa cha mbwa na kideri.
Kuimarisha miundombinu ya kilimo kwa kuchimba visima vifupi 4 vya kilimo cha bustani, kujenga barabara urefu wa kilometa 12, kujenga soko 1 la mazao ya kilimo na kujenga ghala 1.
Kuhamasisha matumizi ya pembejeo kwa kuzalisha mbegu bora za mihogo, viazi vitamu na mtama katika ngazi ya kaya katika vikundi 26 na kuimarisha vikundi 20 vya kilimo cha kutumia wanyama kazi. |
| |
Table XXI shows a fluctuating production trend of paddy between 1990/91 and 1994/95 seasons. For instance, production was 105,330 tons in 1990/91, and in 1991/92 season it went up to 120,945 tons. Production dropped to 108,000 tons in 1992/93 and slowly picked up to 113,430 tons in 1993/94.
Production dropped to 108,000 tons in 1992/93 and slowly picked up to 113,430 tons in 1993/94.
|
| |
| |
| |
|
|
|
| |
| Beans |
| |
Beans are important food pulses in Tabora Region. For the past five years, an average of 30,000 Ha. have been under beans production, with an average yield of about 18,000 tons per annum (approximately 0.6 tons per Ha.) As seen from Table XXI beans production between 1990/91 and 1994/95 increased tremendously from a mere 13,667 tons to 30,909 tons. Nevertheless, production levels are still low especially when productivity stands at 0.6 tons per Ha.
|
| |
| |
| |
| |
| Banana |
| |
Bananas are permanent food crops in the region, particularly in Kyela, Rungwe, Ileje and Tabora Rural. An average of 25,000 Ha. are under banana crop in the Region. Production level is at 185,000 tons per annum on the average. According to Table XXI, the Region recorded the highest production level in 1993/94.
Bananas are permanent food crops in the region, particularly in Kyela, Rungwe, Ileje and Tabora Rural. An average of 25,000 Ha. are under banana crop in the Region. Production level is at 185,000 tons per annum on the average. According to Table XXI, the Region |
| |
| |
| |
|