|
||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||
MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA (TRA):
Katika kipindi cha nusu mwaka (Julai– Desemba 2009/2010) Mkoa ulipewa lengo la kukusanya Tshs.3,590,000,000/= Hadi Desemba 2009 tuliweza kukusanya jumla ya Tshs.2,488,651,651,491/= hivyo utendaji kufikia 97%. Pamoja na kutovuka lengo kwa nusu ya mwaka huu wa fedha, makusanyo ya kodi yamekuwa kwa asilimia 19% ikilinganisha na makusanyo ya mwaka 2008/2009 ikilinganishwa vipindi hivyo viwili. |
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|
||||||||||||||||||
| Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora, S.L.P. 25, TABORA. TEL: 026 - 2604058/2604116, FAX: 026-2604274 | ||