|
||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||
BAJETI YA MKOA
Kuanzia mwaka wa fedha 2005/2006 hadi 2010/2011 Bajeti ya Mkoa wa Tabora imekuwa ikiongezeka mwaka hadi mwaka. Mwaka wa fedha 2005/2006 Mkoa uliidhinishiwa jumla ya Tshs.24,694,368,000/= ikilinganishwa na jumla ya Tshs.110,180,553,000/= zilizoidhinishwa mwaka wa fedha 2010/2011 (ongezeko la Tshs. 85,486,185,000/=).
Mchanganuo wa Bajeti ya Mkoa kwa kipindi cha 2006/07 - 2010/2011. |
|
||||||||||||||||||
| Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora, S.L.P. 25, TABORA. TEL: 026 - 2604058/2604116, FAX: 026-2604274 | ||