Mkoa umegawanyika katika Kanda tatu (3) za hali ya hewa na mazingira kama ifuatavyo:-
i. Kanda yenye mvua za kutosha, mm 800 – 1300. Maeneo ya Kanda hii ni Wilaya za Sikonge, Urambo, Tabora (isipokuwa Kata za Kizengi na Igalula) na Nzega (Kata za Mambali na Bukene) ambapo udongo wake ni wenye kichanga na tifutifu (sandy loams).
|